14Kisha nikaona, na tazama! Mwanakondoo+ amesimama juu ya Mlima Sayuni,+ na pamoja naye 144,000+ walioandikwa jina lake na jina la Baba yake+ kwenye mapaji ya nyuso zao.
12 Macho yake ni mwali wa moto,+ na juu ya kichwa chake kuna mataji mengi.* Ana jina lililoandikwa ambalo hakuna yeyote anayelijua isipokuwa yeye mwenyewe,