Ufunuo 22:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na hakutakuwa tena na laana yoyote. Bali kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwanakondoo+ kitakuwa katika jiji hilo, na watumwa wake watamtolea utumishi mtakatifu; 4 nao watauona uso wake,+ na jina lake litakuwa kwenye mapaji ya nyuso zao.+
3 Na hakutakuwa tena na laana yoyote. Bali kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwanakondoo+ kitakuwa katika jiji hilo, na watumwa wake watamtolea utumishi mtakatifu; 4 nao watauona uso wake,+ na jina lake litakuwa kwenye mapaji ya nyuso zao.+