14Nami nikaona, na, tazama! Mwana-Kondoo+ amesimama juu ya Mlima Sayuni,+ na pamoja naye 144,000+ wakiwa na jina lake na jina la Baba+ yake limeandikwa juu ya mapaji ya nyuso zao.
12 Macho yake ni mwali wa moto,+ na juu ya kichwa chake kuna vilemba vingi.+ Ana jina+ lililoandikwa ambalo hakuna yeyote anayelijua isipokuwa yeye mwenyewe,