Zaburi 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami, katika uadilifu nitauona uso wako;+Nitatosheka kuliona umbo lako ninapoamka.+ Mathayo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Wenye furaha ni wale walio safi moyoni,+ kwa kuwa watamwona Mungu.+