Ufunuo 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Zaidi ya hayo, kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe,+ kama theluji, na macho yake kama mwali wa moto;+ Ufunuo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Thiatira+ andika: Haya ndiyo mambo ambayo Mwana+ wa Mungu anasema, yeye ambaye macho yake ni kama mwali wa moto,+ na miguu yake ni kama shaba safi,+
14 Zaidi ya hayo, kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe,+ kama theluji, na macho yake kama mwali wa moto;+
18 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Thiatira+ andika: Haya ndiyo mambo ambayo Mwana+ wa Mungu anasema, yeye ambaye macho yake ni kama mwali wa moto,+ na miguu yake ni kama shaba safi,+