Ufunuo 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Zaidi ya hayo, kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe,+ kama theluji, na macho yake kama mwali wa moto;+ Ufunuo 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Macho yake ni mwali wa moto,+ na juu ya kichwa chake kuna vilemba vingi.+ Ana jina+ lililoandikwa ambalo hakuna yeyote anayelijua isipokuwa yeye mwenyewe,
14 Zaidi ya hayo, kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe,+ kama theluji, na macho yake kama mwali wa moto;+
12 Macho yake ni mwali wa moto,+ na juu ya kichwa chake kuna vilemba vingi.+ Ana jina+ lililoandikwa ambalo hakuna yeyote anayelijua isipokuwa yeye mwenyewe,