1 Wakorintho 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Je, hamjui kwamba ninyi ni hekalu la Mungu,+ na kwamba roho ya Mungu inakaa ndani yenu?+ Waefeso 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Katika muungano na yeye, jengo lote likiunganishwa pamoja+ kwa upatano, linakua liwe hekalu takatifu kwa ajili ya Yehova.+ 1 Petro 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+
21 Katika muungano na yeye, jengo lote likiunganishwa pamoja+ kwa upatano, linakua liwe hekalu takatifu kwa ajili ya Yehova.+
5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+