Waroma 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, ninyi hampatani na mwili, bali mnapatana na roho,+ ikiwa kweli roho ya Mungu inakaa ndani yenu.+ Lakini ikiwa mtu yeyote hana roho+ ya Kristo, mtu huyo si wake. 1 Wakorintho 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwani! Je, hamjui kwamba mwili wenu ni hekalu+ la roho takatifu ndani yenu,+ mliyo nayo kutoka kwa Mungu? Pia, ninyi si mali yenu wenyewe,+
9 Hata hivyo, ninyi hampatani na mwili, bali mnapatana na roho,+ ikiwa kweli roho ya Mungu inakaa ndani yenu.+ Lakini ikiwa mtu yeyote hana roho+ ya Kristo, mtu huyo si wake.
19 Kwani! Je, hamjui kwamba mwili wenu ni hekalu+ la roho takatifu ndani yenu,+ mliyo nayo kutoka kwa Mungu? Pia, ninyi si mali yenu wenyewe,+