1 Wakorintho 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Je, hamjui kwamba ninyi ni hekalu la Mungu,+ na kwamba roho ya Mungu inakaa ndani yenu?+ 2 Wakorintho 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+