Zekaria 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nawe umwambie,“‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mtu+ ambaye jina lake ni Chipukizi.+ Naye atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+ 1 Wakorintho 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Je, hamjui kwamba ninyi ni hekalu la Mungu,+ na kwamba roho ya Mungu inakaa ndani yenu?+ 1 Wakorintho 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwani! Je, hamjui kwamba mwili wenu ni hekalu+ la roho takatifu ndani yenu,+ mliyo nayo kutoka kwa Mungu? Pia, ninyi si mali yenu wenyewe,+
12 Nawe umwambie,“‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mtu+ ambaye jina lake ni Chipukizi.+ Naye atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+
19 Kwani! Je, hamjui kwamba mwili wenu ni hekalu+ la roho takatifu ndani yenu,+ mliyo nayo kutoka kwa Mungu? Pia, ninyi si mali yenu wenyewe,+