Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Na kutoka wakati wa kuondolewa+ kwa ile dhabihu ya daima+ na kusimamishwa kwa lile chukizo+ linalosababisha ukiwa, kutakuwa na siku 1,290.

  • Mathayo 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Kwa hiyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa, kama vile lilivyosemwa kupitia nabii Danieli, likiwa limesimama katika mahali patakatifu,+ (msomaji na atumie utambuzi,)

  • Ufunuo 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye akapewa ruhusa kuipa pumzi ile sanamu ya mnyama-mwitu, hivi kwamba ile sanamu ya mnyama-mwitu iseme na pia kufanya wauawe wale wote ambao hawakutaka hata kidogo kuiabudu ile sanamu+ ya mnyama-mwitu.

  • Ufunuo 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mnyama-mwitu uliyemwona alikuwako,+ lakini hayuko, na bado yuko karibu kupanda kutoka katika abiso,+ naye ataenda kwenye uharibifu. Na watakapoona jinsi yule mnyama-mwitu alivyokuwako, lakini hayuko, na bado atakuwapo, wale wanaokaa duniani watamsifu kwa mshangao, lakini majina yao hayakuandikwa kwenye kile kitabu cha kukunjwa cha uzima+ tangu kuwekwa kwa msingi wa ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki