Ufunuo 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na wale wote wanaokaa duniani watamwabudu; hakuna jina la hata mmoja wao limeandikwa katika kitabu cha kukunjwa+ cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa,+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+
8 Na wale wote wanaokaa duniani watamwabudu; hakuna jina la hata mmoja wao limeandikwa katika kitabu cha kukunjwa+ cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa,+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+