-
Ufunuo 17:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Mnyama wa mwituni uliyemwona alikuwako, lakini hayuko, na bado yuko karibu kupanda kutoka katika shimo refu lisilo na mwisho,*+ naye ataenda kwenye uharibifu. Na watu wanaokaa duniani ambao majina yao hayajaandikwa katika kitabu cha kukunjwa cha uzima+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu watashangaa watakapoona jinsi yule mnyama wa mwituni alivyokuwako, lakini hayuko, na bado atakuwapo.
-
-
Ufunuo 17:8Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
8 Hayawani-mwitu uliyemwona alikuwako, lakini hayuko, na bado yuko karibu kupanda kutoka katika abiso, na ataondoka kwenda katika uharibifu. Na waonapo jinsi huyo hayawani-mwitu alivyokuwako, lakini hayuko, na hakika bado atakuwapo, wale ambao hukaa juu ya dunia watasifu kwa kumstaajabia, lakini majina yao hayajaandikwa juu ya hati-kunjo ya uhai tangu kuwekwa kwa msingi wa ulimwengu.
-