Kumbukumbu la Torati 29:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nanyi mlikuwa mkiona vitu vyao vyenye kuchukiza na sanamu zao za mavi,+ miti na mawe, fedha na dhahabu, zilizokuwa ndani yake;) 1 Wafalme 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Sulemani akaanza kufuata Ashtorethi,+ mungu wa kike wa Wasidoni na kufuata Milkomu,+ chukizo la Waamoni. Ufunuo 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akapewa ruhusa kuipa pumzi ile sanamu ya mnyama-mwitu, hivi kwamba ile sanamu ya mnyama-mwitu iseme na pia kufanya wauawe wale wote ambao hawakutaka hata kidogo kuiabudu ile sanamu+ ya mnyama-mwitu.
17 Nanyi mlikuwa mkiona vitu vyao vyenye kuchukiza na sanamu zao za mavi,+ miti na mawe, fedha na dhahabu, zilizokuwa ndani yake;)
5 Na Sulemani akaanza kufuata Ashtorethi,+ mungu wa kike wa Wasidoni na kufuata Milkomu,+ chukizo la Waamoni.
15 Naye akapewa ruhusa kuipa pumzi ile sanamu ya mnyama-mwitu, hivi kwamba ile sanamu ya mnyama-mwitu iseme na pia kufanya wauawe wale wote ambao hawakutaka hata kidogo kuiabudu ile sanamu+ ya mnyama-mwitu.