Kumbukumbu la Torati 29:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nanyi mlikuwa mkiona vitu vyao vyenye kuchukiza na sanamu zao za mavi,+ miti na mawe, fedha na dhahabu, zilizokuwa ndani yake;) 1 Wafalme 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Sulemani akaanza kufuata Ashtorethi,+ mungu wa kike wa Wasidoni na kufuata Milkomu,+ chukizo la Waamoni. Danieli 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na yeyote ambaye hataanguka chini na kuabudu+ atatupwa wakati huohuo+ ndani ya tanuru inayowaka moto.”+ Mathayo 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Kwa hiyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa, kama vile lilivyosemwa kupitia nabii Danieli, likiwa limesimama katika mahali patakatifu,+ (msomaji na atumie utambuzi,)
17 Nanyi mlikuwa mkiona vitu vyao vyenye kuchukiza na sanamu zao za mavi,+ miti na mawe, fedha na dhahabu, zilizokuwa ndani yake;)
5 Na Sulemani akaanza kufuata Ashtorethi,+ mungu wa kike wa Wasidoni na kufuata Milkomu,+ chukizo la Waamoni.
6 Na yeyote ambaye hataanguka chini na kuabudu+ atatupwa wakati huohuo+ ndani ya tanuru inayowaka moto.”+
15 “Kwa hiyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa, kama vile lilivyosemwa kupitia nabii Danieli, likiwa limesimama katika mahali patakatifu,+ (msomaji na atumie utambuzi,)