Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Naye ataendelea kulitendesha agano+ kwa ajili ya wengi kwa juma moja;+ na katika nusu ya juma hilo atakomesha dhabihu na toleo la zawadi.+

      “Na juu ya bawa la machukizo kutakuwa na yule anayesababisha ukiwa;+ na mpaka maangamizi, kitu kile kilichoamuliwa kitamwagika pia juu ya yule anayekaa ukiwa.”+

  • Danieli 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na kutakuwa na mikono itakayosimama, kutoka kwake; nayo itapatia unajisi patakatifu,+ ile ngome, na kuondoa dhabihu ya daima.+

      “Nao watalisimamisha lile chukizo+ linalosababisha ukiwa.+

  • Danieli 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Na kutoka wakati wa kuondolewa+ kwa ile dhabihu ya daima+ na kusimamishwa kwa lile chukizo+ linalosababisha ukiwa, kutakuwa na siku 1,290.

  • Marko 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Hata hivyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa likiwa+ limesimama mahali ambapo halipaswi (msomaji na atumie utambuzi),+ ndipo wale walio katika Yudea waanze kukimbilia milimani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki