Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Baada ya hayo nikaendelea kuona katika maono ya usiku, na, tazama! mnyama wa nne, mwenye kuogopesha na mwenye kutisha na mwenye nguvu isivyo kawaida.+ Naye alikuwa na meno ya chuma, yaliyo makubwa. Alikuwa akirarua na kuvunja, na mabaki aliyakanyaga kwa miguu yake. Naye alikuwa tofauti na wale wanyama wengine wote waliokuwa kabla yake, naye alikuwa na pembe kumi.+

  • Danieli 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Haya ndiyo aliyosema, ‘Kuhusu yule mnyama wa nne, kuna ufalme wa nne ambao utakuja kuwa duniani, ambao utakuwa tofauti na zile falme nyingine zote; nao utararua dunia yote na kuikanyagia chini na kuivunja.+

  • Luka 21:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Zaidi ya hayo, mtakapoona Yerusalemu limezingirwa+ na majeshi yaliyopiga kambi, ndipo jueni kwamba kufanywa ukiwa kwake kumekaribia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki