26 “Na baada ya yale majuma 62 Masihi atakatiliwa mbali,+ bila kuwa na chochote kwa ajili yake.+
“Na watu wa kiongozi anayekuja wataharibu+ jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+
15 “Kwa hiyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa, kama vile lilivyosemwa kupitia nabii Danieli, likiwa limesimama katika mahali patakatifu,+ (msomaji na atumie utambuzi,)