Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 mimi pia nitawakatilia mbali Israeli kutoka juu ya uso wa nchi ambayo nimewapa;+ na ile nyumba ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu nitaitupa kutoka mbele zangu,+ na Israeli hakika watakuwa neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu.

  • Yeremia 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Nimeiacha nyumba yangu;+ nimeuacha urithi wangu;+ nimemtia mpendwa wa nafsi yangu mkononi mwa adui zake.+

  • Yeremia 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Lakini ikiwa hamtayatii maneno haya, mimi ninaapa kwa nafsi yangu mwenyewe,’+ asema Yehova, ‘kwamba nyumba hii itakuwa ukiwa kabisa.’+

  • Mathayo 21:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwenu na kupewa taifa lenye kuzaa matunda yake.+

  • Luka 19:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 akisema: “Kama wewe, naam, wewe, ungalikuwa umefahamu+ leo mambo yanayohusiana na amani​—⁠lakini sasa yamefichwa kutoka machoni pako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki