5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+ nami nikawatia mkononi mwako.+ Hukuwaonyesha rehema zozote.+ Uliifanya nira yako kuwa nzito sana juu ya mzee.+