Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fanya moyo wa watu hawa kuwa mgumu,+ na uyafanye masikio yao kuwa magumu,+ na ushikanishe macho yao pamoja, ili wasione kwa macho yao na kwa masikio yao wasisikie, na ili moyo wao usielewe na ili kwa kweli wasigeuke na kujiponya.”+

  • Mathayo 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na unabii wa Isaya unatimizwa kwao, ambao unasema, ‘Kusikia, mtasikia lakini hamtaelewa maana yake; na, kutazama, mtatazama lakini hamtaona.+

  • Marko 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ili, ingawa wanatazama, watazame na bado wasione, na, ingawa wanasikia, wasikie na bado wasielewe, wala wasigeuke kamwe na kusamehewa.”+

  • Matendo 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ikisema, ‘Nenda kwa watu hawa na kusema: “Kwa kusikia, mtasikia lakini msielewe kamwe; na, kutazama, mtatazama, lakini msione kamwe.+

  • Waroma 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kama ilivyoandikwa: “Mungu amewapa roho ya usingizi mzito,+ macho ili wasione na masikio ili wasisikie, mpaka leo hii.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki