Isaya 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fanya moyo wa watu hawa kuwa mgumu,+ na uyafanye masikio yao kuwa magumu,+ na ushikanishe macho yao pamoja, ili wasione kwa macho yao na kwa masikio yao wasisikie, na ili moyo wao usielewe na ili kwa kweli wasigeuke na kujiponya.”+ Mathayo 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 na unabii wa Isaya unatimizwa kwao, ambao unasema, ‘Kusikia, mtasikia lakini hamtaelewa maana yake; na, kutazama, mtatazama lakini hamtaona.+ Marko 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ili, ingawa wanatazama, watazame na bado wasione, na, ingawa wanasikia, wasikie na bado wasielewe, wala wasigeuke kamwe na kusamehewa.”+ Matendo 28:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 ikisema, ‘Nenda kwa watu hawa na kusema: “Kwa kusikia, mtasikia lakini msielewe kamwe; na, kutazama, mtatazama, lakini msione kamwe.+ Waroma 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kama ilivyoandikwa: “Mungu amewapa roho ya usingizi mzito,+ macho ili wasione na masikio ili wasisikie, mpaka leo hii.”+
10 Fanya moyo wa watu hawa kuwa mgumu,+ na uyafanye masikio yao kuwa magumu,+ na ushikanishe macho yao pamoja, ili wasione kwa macho yao na kwa masikio yao wasisikie, na ili moyo wao usielewe na ili kwa kweli wasigeuke na kujiponya.”+
14 na unabii wa Isaya unatimizwa kwao, ambao unasema, ‘Kusikia, mtasikia lakini hamtaelewa maana yake; na, kutazama, mtatazama lakini hamtaona.+
12 ili, ingawa wanatazama, watazame na bado wasione, na, ingawa wanasikia, wasikie na bado wasielewe, wala wasigeuke kamwe na kusamehewa.”+
26 ikisema, ‘Nenda kwa watu hawa na kusema: “Kwa kusikia, mtasikia lakini msielewe kamwe; na, kutazama, mtatazama, lakini msione kamwe.+
8 kama ilivyoandikwa: “Mungu amewapa roho ya usingizi mzito,+ macho ili wasione na masikio ili wasisikie, mpaka leo hii.”+