Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na bado Yehova hajawapa ninyi moyo wa kujua na macho ya kuona na masikio ya kusikia mpaka leo hii.+

  • Isaya 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye akaendelea kusema: “Nenda, nawe uwaambie watu hawa, ‘Sikieni tena na tena, lakini msielewe; na mwone tena na tena, lakini msipate ujuzi wowote.’+

  • Yeremia 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Sikieni jambo hili, sasa, enyi watu wasio na hekima ambao hawana moyo wa ufahamu:+ Wana macho, lakini hawawezi kuona;+ wana masikio, lakini hawawezi kusikia.+

  • Mathayo 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na unabii wa Isaya unatimizwa kwao, ambao unasema, ‘Kusikia, mtasikia lakini hamtaelewa maana yake; na, kutazama, mtatazama lakini hamtaona.+

  • Yohana 12:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “Ameyapofusha macho yao naye ameifanya mioyo yao iwe migumu,+ ili wasione kwa macho yao na kulielewa wazo kwa mioyo yao na kugeuka nami niwaponye.”+

  • Matendo 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ikisema, ‘Nenda kwa watu hawa na kusema: “Kwa kusikia, mtasikia lakini msielewe kamwe; na, kutazama, mtatazama, lakini msione kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki