15 “Ubaya wao wote ulikuwa katika Gilgali,+ kwa maana hapo nililazimika kuwachukia.+ Nitawafukuzia mbali kutoka katika nyumba yangu mwenyewe kwa sababu ya uovu wa matendo yao.+ Sitaendelea kuwapenda.+ Wakuu wao wote wanatenda kwa ukaidi.+
35 Tazama! Nyumba+ yenu mmeachiwa hali ya ukiwa. Ninawaambia, Ninyi hamtaniona kamwe mpaka mtakaposema, ‘Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!’ ”+