Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 118:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na abarikiwe Yeye anayekuja katika jina la Yehova;+

      Tumewabariki ninyi watu kutoka katika nyumba ya Yehova.+

  • Mathayo 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na ule umati, wale waliokuwa wakienda mbele yake na wale waliokuwa wakifuata wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+ Mwokoe, tunaomba, katika vilele vilivyo juu!”+

  • Mathayo 23:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa maana ninawaambia ninyi, Hamtaniona kamwe tangu sasa mpaka mtakaposema, ‘Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!’ ”+

  • Luka 19:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 na kusema: “Aliyebarikiwa ni Yule anayekuja akiwa ndiye Mfalme katika jina la Yehova!+ Amani mbinguni, na utukufu katika mahali palipoinuka juu zaidi!”+

  • Yohana 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 wakachukua matawi ya mitende+ na kutoka nje wakutane naye. Nao wakaanza kupaaza sauti:+ “Mwokoe, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova,+ naam, mfalme+ wa Israeli!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki