Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 118:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na abarikiwe Yeye anayekuja katika jina la Yehova;+

      Tumewabariki ninyi watu kutoka katika nyumba ya Yehova.+

  • Marko 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wale waliokuwa wakitangulia na wale waliokuwa wakifuata nyuma wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+

  • Luka 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Utukufu katika vilele vilivyo juu+ kwa Mungu, na juu ya dunia amani+ kati ya watu wa nia njema.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki