Zaburi 118:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na abarikiwe Yeye anayekuja katika jina la Yehova;+Tumewabariki ninyi watu kutoka katika nyumba ya Yehova.+ Marko 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na wale waliokuwa wakitangulia na wale waliokuwa wakifuata nyuma wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+ Luka 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Utukufu katika vilele vilivyo juu+ kwa Mungu, na juu ya dunia amani+ kati ya watu wa nia njema.”+
26 Na abarikiwe Yeye anayekuja katika jina la Yehova;+Tumewabariki ninyi watu kutoka katika nyumba ya Yehova.+
9 Na wale waliokuwa wakitangulia na wale waliokuwa wakifuata nyuma wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+
14 “Utukufu katika vilele vilivyo juu+ kwa Mungu, na juu ya dunia amani+ kati ya watu wa nia njema.”+