9 Na ule umati, wale waliokuwa wakienda mbele yake na wale waliokuwa wakifuata wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+ Mwokoe, tunaomba, katika vilele vilivyo juu!”+
9 Na wale waliokuwa wakitangulia na wale waliokuwa wakifuata nyuma wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+
38 na kusema: “Aliyebarikiwa ni Yule anayekuja akiwa ndiye Mfalme katika jina la Yehova!+ Amani mbinguni, na utukufu katika mahali palipoinuka juu zaidi!”+