Zaburi 118:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na abarikiwe Yeye anayekuja katika jina la Yehova;+Tumewabariki ninyi watu kutoka katika nyumba ya Yehova.+ Mathayo 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na ule umati, wale waliokuwa wakienda mbele yake na wale waliokuwa wakifuata wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+ Mwokoe, tunaomba, katika vilele vilivyo juu!”+
26 Na abarikiwe Yeye anayekuja katika jina la Yehova;+Tumewabariki ninyi watu kutoka katika nyumba ya Yehova.+
9 Na ule umati, wale waliokuwa wakienda mbele yake na wale waliokuwa wakifuata wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+ Mwokoe, tunaomba, katika vilele vilivyo juu!”+