35 Tazama! Nyumba+ yenu mmeachiwa hali ya ukiwa. Ninawaambia, Ninyi hamtaniona kamwe mpaka mtakaposema, ‘Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!’ ”+
13 wakachukua matawi ya mitende+ na kutoka nje wakutane naye. Nao wakaanza kupaaza sauti:+ “Mwokoe, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova,+ naam, mfalme+ wa Israeli!”