Zaburi 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa sababu kuwa chini ya hasira yake ni kwa muda kidogo tu,+Kuwa chini ya nia yake njema ni kwa muda wote wa maisha.+Huenda kilio kikakaa wakati wa jioni,+ lakini asubuhi kuna vigelegele vya shangwe.+ Isaya 61:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kutangaza mwaka wa nia njema upande wa Yehova+ na siku ya kisasi upande wa Mungu wetu;+ kuwafariji wote wanaoomboleza;+ Luka 19:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 na kusema: “Aliyebarikiwa ni Yule anayekuja akiwa ndiye Mfalme katika jina la Yehova!+ Amani mbinguni, na utukufu katika mahali palipoinuka juu zaidi!”+
5 Kwa sababu kuwa chini ya hasira yake ni kwa muda kidogo tu,+Kuwa chini ya nia yake njema ni kwa muda wote wa maisha.+Huenda kilio kikakaa wakati wa jioni,+ lakini asubuhi kuna vigelegele vya shangwe.+
2 kutangaza mwaka wa nia njema upande wa Yehova+ na siku ya kisasi upande wa Mungu wetu;+ kuwafariji wote wanaoomboleza;+
38 na kusema: “Aliyebarikiwa ni Yule anayekuja akiwa ndiye Mfalme katika jina la Yehova!+ Amani mbinguni, na utukufu katika mahali palipoinuka juu zaidi!”+