Isaya 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Yehova ana siku ya kisasi,+ mwaka wa malipo kwa ajili ya kesi juu ya Sayuni.+ Matendo 17:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa sababu ameweka siku ambayo katika hiyo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia kwa mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua+ kutoka kwa wafu.”
31 Kwa sababu ameweka siku ambayo katika hiyo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia kwa mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua+ kutoka kwa wafu.”