Isaya 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye kwa kweli atameza kifo milele,+ na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hakika atafuta machozi katika nyuso zote.+ Na shutuma ya watu wake ataiondoa katika dunia yote,+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo. Mathayo 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Wenye furaha ni wale wanaoomboleza, kwa kuwa watafarijiwa.+ Luka 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Wenye furaha ni ninyi mlio na njaa+ sasa, kwa sababu mtashiba.+ “Wenye furaha ni ninyi mnaolia sasa, kwa sababu mtacheka.+
8 Yeye kwa kweli atameza kifo milele,+ na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hakika atafuta machozi katika nyuso zote.+ Na shutuma ya watu wake ataiondoa katika dunia yote,+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo.
21 “Wenye furaha ni ninyi mlio na njaa+ sasa, kwa sababu mtashiba.+ “Wenye furaha ni ninyi mnaolia sasa, kwa sababu mtacheka.+