19 “Mimi ninaumba matunda ya midomo.+ Kutakuwa na amani yenye kuendelea kwa yule aliye mbali na kwa yule aliye karibu,”+ Yehova amesema, “nami nitamponya.”+
20 na kupitia yeye apatanishe+ tena kwake mwenyewe vitu vingine vyote+ kwa kufanya amani+ kupitia damu+ aliyomwaga juu ya mti wa mateso,+ hata kama ni vitu vilivyo duniani au vitu vilivyo mbinguni.