Mathayo 27:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Na, tazama! pazia+ la patakatifu likapasuka vipande viwili, kutoka juu mpaka chini,+ na dunia ikatetemeka, na miamba ikapasuka.+ 2 Wakorintho 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi ikiwa yeyote yuko katika muungano na Kristo, yeye ni kiumbe kipya;+ mambo ya zamani yalipitilia mbali,+ tazama! mambo mapya yamekuja kuwako.+ Waebrania 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 aliingia, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe-dume wachanga,+ bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote ndani ya mahali patakatifu na kupata ukombozi wa milele kwa ajili yetu.+ Waebrania 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hayo “mapenzi”+ yaliyosemwa sisi tumetakaswa+ kupitia toleo+ la mwili wa Yesu Kristo+ mara moja kwa wakati wote.
51 Na, tazama! pazia+ la patakatifu likapasuka vipande viwili, kutoka juu mpaka chini,+ na dunia ikatetemeka, na miamba ikapasuka.+
17 Basi ikiwa yeyote yuko katika muungano na Kristo, yeye ni kiumbe kipya;+ mambo ya zamani yalipitilia mbali,+ tazama! mambo mapya yamekuja kuwako.+
12 aliingia, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe-dume wachanga,+ bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote ndani ya mahali patakatifu na kupata ukombozi wa milele kwa ajili yetu.+
10 Kwa hayo “mapenzi”+ yaliyosemwa sisi tumetakaswa+ kupitia toleo+ la mwili wa Yesu Kristo+ mara moja kwa wakati wote.