Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nayo ikajivuna sana hata kwa Mkuu+ wa jeshi, na dhabihu ya daima+ ikaondolewa mbali kutoka kwake, na mahali palipofanywa imara pa patakatifu pake pakatupwa chini.+

  • Danieli 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na kutakuwa na mikono itakayosimama, kutoka kwake; nayo itapatia unajisi patakatifu,+ ile ngome, na kuondoa dhabihu ya daima.+

      “Nao watalisimamisha lile chukizo+ linalosababisha ukiwa.+

  • Waebrania 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+

  • 1 Petro 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki