11 Nayo ikajivuna sana hata kwa Mkuu+ wa jeshi, na dhabihu ya daima+ ikaondolewa mbali kutoka kwake, na mahali palipofanywa imara pa patakatifu pake pakatupwa chini.+
5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+