42 Ni toleo la daima+ la kuteketezwa katika vizazi vyenu vyote kwenye mwingilio wa hema la mkutano mbele za Yehova, ambapo nitajitokeza kwenu ili kusema nanyi hapo.+
3 “Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo toleo linalotolewa kwa njia ya moto ambalo mtamtolea Yehova: wana-kondoo dume ambao hawana kasoro wenye umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku wakiwa toleo la kuteketezwa daima.+