Isaya 59:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na haki ililazimishwa kusonga nyuma,+ nao uadilifu uliendelea kusimama mbali.+ Kwa maana kweli imejikwaa hata katika kiwanja cha watu wote, na lililonyooka haliwezi kuingia.+
14 Na haki ililazimishwa kusonga nyuma,+ nao uadilifu uliendelea kusimama mbali.+ Kwa maana kweli imejikwaa hata katika kiwanja cha watu wote, na lililonyooka haliwezi kuingia.+