Zaburi 82:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mtaendelea kuhukumu bila haki mpaka wakati gani+Na kuonyesha ubaguzi kwa waovu?+ Sela. Habakuki 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi sheria hufa ganzi, na haki haitendeki kamwe.+ Kwa kuwa mwovu anamzingira mwadilifu, kwa sababu hiyo haki hupotoshwa.+
4 Basi sheria hufa ganzi, na haki haitendeki kamwe.+ Kwa kuwa mwovu anamzingira mwadilifu, kwa sababu hiyo haki hupotoshwa.+