23 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu ninyi huitoa sehemu ya kumi+ ya mnanaa na dili na bizari, lakini mmepuuza mambo mazito zaidi ya Sheria, yaani, haki+ na rehema+ na uaminifu.+ Ilikuwa lazima kuyafanya mambo haya, na bado kutopuuza yale mambo mengine.