Danieli 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kwa sababu ya uasi, jeshi likatiwa mikononi mwa pembe hiyo, pamoja na ile dhabihu inayotolewa daima,* nayo iliendelea kuutupa ukweli duniani, ikatenda na kufanikiwa. Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:12 dp 170-171, 175-176 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:12 Unabii wa Danieli, kur. 170-171, 175-176
12 Na kwa sababu ya uasi, jeshi likatiwa mikononi mwa pembe hiyo, pamoja na ile dhabihu inayotolewa daima,* nayo iliendelea kuutupa ukweli duniani, ikatenda na kufanikiwa.