Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 119:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 119 Wenye furaha ni wale wasio na kosa katika njia yao,+Wale wanaotembea katika sheria ya Yehova.+ Zaburi 119:142 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 142 Uadilifu wako ni uadilifu wa mpaka wakati usio na kipimo,+Na sheria yako ni kweli.+
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+