Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 36:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Uadilifu wako ni kama milima ya Mungu;+

      Uamuzi wako wa hukumu ni kilindi kikubwa cha maji.+

      Wewe huokoa mwanadamu na mnyama, Ee Yehova.+

  • Isaya 51:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Inueni macho yenu kuzielekea mbingu,+ na mwitazame dunia chini. Kwa maana mbingu zitatawanywa vipande-vipande kama moshi,+ nayo dunia itachakaa kama nguo,+ na wakaaji wake watakufa kama chawa. Lakini wokovu wangu utadumu mpaka wakati usio na kipimo,+ na uadilifu wangu mwenyewe hautavunjwa.+

  • Danieli 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Kuna majuma 70 ambayo yameamuliwa juu ya watu wako+ na juu ya jiji lako takatifu,+ ili kukomesha makosa,+ na kumaliza kabisa dhambi,+ na kufanya upatanisho kwa ajili ya kosa,+ na kuleta uadilifu mpaka wakati usio na kipimo,+ na kupiga muhuri+ juu ya maono na nabii, na kupatia mafuta Patakatifu pa Patakatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki