4 Na wale wote wa jeshi la mbingu wataoza. Na mbingu zitakunjwa,+ kama vile kitabu cha kukunjwa;+ na jeshi lao lote litanyauka, kama vile majani yanavyonyauka na kuanguka kutoka kwenye mzabibu na kama tini iliyonyauka na kuanguka kutoka kwenye mtini.+