Yeremia 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “‘Nitakapokuwa nikikusanya, nitawamaliza,’ asema Yehova.+ ‘Hakutakuwa na zabibu juu ya mzabibu,+ wala hakutakuwa na tini juu ya mtini, na hakika majani yatakauka. Na vitu ninavyowapa vitapita kando yao.’”
13 “‘Nitakapokuwa nikikusanya, nitawamaliza,’ asema Yehova.+ ‘Hakutakuwa na zabibu juu ya mzabibu,+ wala hakutakuwa na tini juu ya mtini, na hakika majani yatakauka. Na vitu ninavyowapa vitapita kando yao.’”