Isaya 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana nyota za mbinguni na makundi-nyota yake ya Kesili+ hazitatoa nuru yake; jua litakuwa na giza linapochomoza, na mwezi hautatoa nuru yake. Obadia 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ukipafanya mahali pako pawe juu kama tai, au ikiwa kiota chako kingewekwa kati ya nyota, ningekushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova. Obadia 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Je, haitakuwa katika siku hiyo?” asema Yehova. “Nami nitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu,+ na utambuzi kutoka eneo lenye milima la Esau.
10 Kwa maana nyota za mbinguni na makundi-nyota yake ya Kesili+ hazitatoa nuru yake; jua litakuwa na giza linapochomoza, na mwezi hautatoa nuru yake.
4 Ukipafanya mahali pako pawe juu kama tai, au ikiwa kiota chako kingewekwa kati ya nyota, ningekushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.
8 Je, haitakuwa katika siku hiyo?” asema Yehova. “Nami nitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu,+ na utambuzi kutoka eneo lenye milima la Esau.