Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 akisema: “Tuna nini nawe, Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu+ wa Mungu.”+

  • Luka 1:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Malaika akamjibu akamwambia: “Roho takatifu+ itakuja juu yako, na nguvu za Aliye Juu Zaidi zitakufunika. Kwa sababu hiyo pia kile kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu,+ Mwana wa Mungu.+

  • Luka 4:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Roho waovu pia wakawa wakiwatoka wengi,+ wakipaaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini, kwa kuwakemea, hakuwa akiwaruhusu kusema,+ kwa sababu walijua kuwa yeye+ ndiye Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki