-
Luka 4:41Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
41 Roho waovu pia wakawa wakiwatoka wengi, wakipaaza kilio na kusema: “Wewe ndiwe Mwana wa Mungu.” Lakini, kwa kuwakemea, hakuwa akiwaruhusu kusema, kwa sababu walimjua yeye kuwa ndiye Kristo.
-