Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini Yesu akamkemea, akisema: “Nyamaza, na umtoke!”+

  • Marko 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini mara nyingi aliwaagiza kwa kusisitiza wasifanye ajulikane.+

  • Matendo 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kijakazi huyo alikuwa akimfuata Paulo na sisi akipaaza sauti+ kwa maneno haya: “Watu hawa ni watumwa wa Mungu Aliye Juu Zaidi, wanaowatangazia ninyi njia ya wokovu.”

  • Matendo 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Akaendelea kufanya hivyo kwa siku nyingi. Mwishowe Paulo akachoshwa,+ akageuka na kumwambia huyo roho: “Ninakuagiza katika jina la Yesu Kristo umtoke.”+ Naye akatoka saa hiyohiyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki