17 Kijakazi huyo alikuwa akimfuata Paulo na sisi akipaaza sauti+ kwa maneno haya: “Watu hawa ni watumwa wa Mungu Aliye Juu Zaidi, wanaowatangazia ninyi njia ya wokovu.”
18 Akaendelea kufanya hivyo kwa siku nyingi. Mwishowe Paulo akachoshwa,+ akageuka na kumwambia huyo roho: “Ninakuagiza katika jina la Yesu Kristo umtoke.”+ Naye akatoka saa hiyohiyo.+