Marko 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 akisema: “Tuna nini nawe, Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu+ wa Mungu.”+ Luka 4:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Roho waovu pia wakawa wakiwatoka wengi,+ wakipaaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini, kwa kuwakemea, hakuwa akiwaruhusu kusema,+ kwa sababu walijua kuwa yeye+ ndiye Kristo.+
24 akisema: “Tuna nini nawe, Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu+ wa Mungu.”+
41 Roho waovu pia wakawa wakiwatoka wengi,+ wakipaaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini, kwa kuwakemea, hakuwa akiwaruhusu kusema,+ kwa sababu walijua kuwa yeye+ ndiye Kristo.+