Mathayo 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na, tazama! wakapaaza sauti, na kusema: “Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu?+ Je, umekuja hapa kututesa+ kabla ya wakati uliowekwa?”+ Marko 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata roho wachafu,+ walipokuwa wakimwona, walikuwa wakijiangusha wenyewe chini mbele yake na kupaaza sauti, wakisema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+
29 Na, tazama! wakapaaza sauti, na kusema: “Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu?+ Je, umekuja hapa kututesa+ kabla ya wakati uliowekwa?”+
11 Hata roho wachafu,+ walipokuwa wakimwona, walikuwa wakijiangusha wenyewe chini mbele yake na kupaaza sauti, wakisema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+