Marko 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 na, alipopaaza sauti kubwa,+ akasema: “Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Zaidi?+ Ninakuapisha+ kwa Mungu usinitese.”+ Luka 4:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Roho waovu pia wakawa wakiwatoka wengi,+ wakipaaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini, kwa kuwakemea, hakuwa akiwaruhusu kusema,+ kwa sababu walijua kuwa yeye+ ndiye Kristo.+
7 na, alipopaaza sauti kubwa,+ akasema: “Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Zaidi?+ Ninakuapisha+ kwa Mungu usinitese.”+
41 Roho waovu pia wakawa wakiwatoka wengi,+ wakipaaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini, kwa kuwakemea, hakuwa akiwaruhusu kusema,+ kwa sababu walijua kuwa yeye+ ndiye Kristo.+